WAZIRI GWAJIMA ASEMA MATUMIZI SAHIHI YA TAKWIMU BADO CHANGAMOTO SEKTA YA AFYA
Na Barnabas Kisengi,Dodoma Waziri wa Afya Mendeleo ya Jamii jinsia Wazee na Watoto DKt Dorothy Gwajima amesema kuwa matumizi ya takwimu zenye ubora katika ngazi za chini ili kuweza kufanya maamuzi ya kisayansi bado ni changamoto katika halmashauri nchini jambo ambalo linarudisha nyuma Sekta ya Afya. Akizungumza kwenye madhimisho ya siku ya Epidemiology Duniani leo jijini Dooma katika
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed